Nimekuwa nawaza sana kuhusu maisha siku za hivi karibuni, na kwa ujumla ni kwamba Mungu anatupenda sana, tena sana. Ukitafakari jinsi mtu anavyoweza kukukosea, na jambo la kwanza ukajiuliza, “nimemfanyia nini huyu mtu?”. Yaani unajaribu kutafuta sababu ya hicho kitu anachokuumiza nacho. Na mara nyingi ni mambo madogo tu, kama chuki, wivu na mengine mengi